Sunday, 1 January 2017

Dume Suruali Lyrics - Mwana Fa Ft Venessa Mdee


Mwana FA ft Venessa Mdee- Dume Suruali lyrics

We ni dume suruali kaa mbali nami, mbali nami
kama dume suruali kaa mbali nami, mbali nami

Falsafa, hudat hudat hii ni salam na ufaham
kama unauza mapenzi si kwa binam ngu
huna haja ya kusubiri hii ni hukumu
hakuna kitu utapata utangoja kaskorowa zangu
dume suruali au dume kaptura shauri zako
ili mradi nsipate hasara
usione utani me siongei hata kwa ishara
utaniambia nini hadi unigeuze fala
kwanza naskia hongo zinaleta mikosi
seltani wangu gugusi hata ukiongea kidosi
yabaki mapenzi tusileteane ujambazi
ata upige sarakasi, utachonga viazi

dhahili kama nini?

ndio mnavyo sema, na ukiniomba kesho
hunisikii tena, kwani unauza nini dada?
hunitakii mema

We ni dume suruali kaa mbali nami, mbali nami
kama dume suruali kaa mbali nami, huendani nami
n I want that gucci fend it spend it on a girl like me
malezi monday money spend it on a girl like me

ni honge inanunua nini? kwanini yani?
kuna kipi nsicho kijua, ina tv ndani?
si ulize ntakupa nini dada piga moyo konde
viuno vingi kama wana wa kima konde
sipende hela kama mfuko na ufanye unavyofanya upate zako
vishawishi vingi binti sema na moyo wako
na ujifunze pesa zinauza utu wako
tajiri mtata kama Salaa, zipo hela sitoi
sio bahili me ni balaa, unapenda hela zangu?
na me nazipenda pia
kila mtu abaki na zake, bye baby tutaongea

mwanaume waiga wa nini sasa?

ndio mnavyo sema, na ukiniomba kesho
hunisikii tena, kwani unauza nini dada?
hunitakii mema

We ni dume suruali kaa mbali nami, mbali nami
kama dume suruali kaa mbali nami, huendani nami
I want that gucci fend it spend it on a girl like me
malezi monday money spend it on a girl like me

aje aje aje ni mtoto flani gani yea ni honge gari
my sweetie sweetie baby hah, wanna see you today
unipeleke party yeh, aje aje aje njoo nikupe tiping yeah

sio kwa enzi ya Maghufuli zari ilikuwa longe skuizi hakuna la mentali
niamka na ukaniacha ntakujia usingizini
na epushe shari matatizo yote ya nini?
hakuna kipya chini ya jua, hata usioyafanya nishayaskia
ningekuwa mwangaji ningeshafulia wangu
madem wangu wa zamani wote wangekuwa maadui zangu

mwanaume ovyo wewe

ndio mnavyo sema, na ukiniomba kesho
hunisikii tena, kwani unauza nini dada?
hunitakii mema

baki na amu zako

We ni dume suruali kaa mbali nami, mbali nami
kama dume suruali kaa mbali nami, huendani nami
I want that gucci fend it spend it on a girl like me
malezi monday money spend it on a girl like me

baba bure huyu
unamwambia nani? unamwambia nani sasa?



No comments:

Post a Comment