Jijue Lyrics Collo ft X
Scooby the lazy Rapper
hakuna kuyumba yumba
boss kama kalabima bado tuko on toes kama
balarina
Ukitaka ka utazame juzi pia kesho
tutalamba ka mchuzi eeh
Si kwa sembe tu
Si kwa mlo tu
Si kwa hela tu Si kwa mali tu
Mwanaume ni kumjua Yesu (jijue)
Mwanaume ni kumjua Yesu
mwanaume ni kumjua yesu
Yesu Yesu Yesu yesu
Mwanaume ni kumjua Yesu
mwanaume ni kumjua Yesu
Jina ni mingi tutasikia
Moja lakini bado lina ng'aa ra
Hakuna aliye msafi kama yeye
Na sio bose au jibu la
Hii ni matata uliza Kenzo nakudouble dare
Najua ninapokwenda sitaja potea
Kwa neema yake ndio nanyenyekea
Bwana asifiwe na si siri tunamtegemea
Si kwa sembe tu
Si kwa mlo tu
Si kwa hela tu Si kwa mali tu
Mwanaume ni kumjua Yesu (jijue)
Mwanaume ni kumjua Yesu
mwanaume ni kumjua yesu
Yesu Yesu Yesu yesu
Mwanaume ni kumjua Yesu
mwanaume ni kumjua Yesu
Hakuna uceleb bila pesa so
naweka imani kwa Mungu
Vuma uenee bila pressure bro
Siste pia juu nyumbani ndio nguvu
Ni family kwanza kabisa
Kwa hii fani, nadra kubisha
Heshima kwa baba nyanyangu na mama sijali
Kijana utalisha watashiba?
Si kwa sembe tu
Si kwa mlo tu
Si kwa hela tu Si kwa mali tu
Mwanaume ni kumjua Yesu (jijue)
Mwanaume ni kumjua Yesu
mwanaume ni kumjua yesu
Yesu Yesu Yesu yesu
Mwanaume ni kumjua Yesu
mwanaume ni kumjua Yesu
Btw hii ni ile kondoo
hii ni ile kondoo
Watangoja sanaa niwe imbo
Ambia hao niko strong than before
Kama ni life, mimi nime pona
Ningekuwa dishi basi ningenona
Baba yangu sonko ati ye ni donor
Maisha nywee c imenyooka
Si kwa sembe tu
Si kwa mlo tu
Si kwa hela tu Si kwa mali tu
Mwanaume ni kumjua Yesu (jijue)
Mwanaume ni kumjua Yesu
mwanaume ni kumjua yesu
Yesu Yesu Yesu yesu
Mwanaume ni kumjua Yesu
mwanaume ni kumjua Yesu