Sunday, 1 January 2017

Masheesha Lyrics - H_art the band ft Bensoul

H_art the band ft Bensoul
Masheesha

Msupa wangu anataka Masheesha, na kwa mfuko pesa zangu zimeisha
Na yule waiter ananitisha, eti mabouncer atawaita
Na huyu dem bado anaitisha, na me nashindwa sasa venye nitazusha
Tulipatana juzi kwenye insta- gram, na mimi staki choma picha

Itakuwa ngori, skiza story
Wacha kucheka hii ni ngori, nilimuwacha bila sory
Na ukicheza
(Utapatana na ye patana naye patana na yeye yeye (dem wa masheesha))x4

Kwa profile mimi ni lawyer, kizungu tamu kama ile ya Lumumba
Lakini ukweli mimi ni hawker,
Nina thao mbili manze leo kulithoka, makanjo walinishika
Ata ni bahati stenje bado sijafika
Na huyu dem zake bado hazijashika, mzinga tatu sasa zimekatika

Itakuwa ngori, skiza story
Wacha kucheka hii ni ngori, nilimuwacha bila sory
Na ukicheza
(Utapatana na ye patana naye patana na yeye wewe (dem wa masheesha))x4

Najiuliza venye nitaenda choo, nitorokee uko nyuma backdoor
Akinisaka asinipate ng’o, akiuliza aambiwe nimego
Lakini vile mimi ninaenda kuchomoka, yule waiter akaniona
Hiyo bill akaidrop, na kwa mfuko mimi sina hata bob

Itakuwa ngori, skiza story
Wacha kucheka hii ni ngori, nilimuwacha bila sory
Na ukicheza
(Utapatana na ye patana naye patana na yeye wewe (dem wa masheesha))x4


No comments:

Post a Comment